test

Jumapili, 7 Juni 2015

NEEMA KWA ACT WAZALENDO....ZITTO KABWE ASHINDA TUZO YA MWANASIASA BORA NA MWENYE USHAWISHI ZAIDI 2015


Zitto Zuberi Kabwe aendelea kuudhihirishia

ulimwengu kuwa ni Mwanasiasa bora na
mwenye ushawishi.
Jamii ya wanazuoni wa Chuo kikuu cha Dar es
Salaam,yamtunuku tuzo ya Mwanasiasa
mwenye ushawishi Tanzania.
Mungu sio Athumani

Install Application ya JUNGUKUULEO Uweze Pata Habari Kirahisi Zaidi

xxxxxxxxxxxxx

0 comments:

Chapisha Maoni