test

Jumamosi, 6 Juni 2015

MAIMARTHA JESSE AMPONGEZA WEMA SEPETU KWA KUMUIBA BWANA WA LINNAH>>>SOMA HAPA


Mtangazaji wa Maimartha Jesse amempongeza madam Wema Sepetu kwa kupata mpenzi mpya.Amemwita mdogo wake mzuri mzuri akiwa nikiashirio cha kubariki ukwapuaji wa mpenzi wa zamani wa Linah Sanga.Pia amempongeza Aunt Ezekiel kwa kupata mtoto na kuahidi kumtembele mtoto huyo Cookie.Huku akipiga biti kwa atakaye mtukana kwa kutoa hongera atamfanya kitu mbaya.

Install Application ya JUNGUKUULEO Uweze Pata Habari Kirahisi Zaidi

xxxxxxxxxxxxx

0 comments:

Chapisha Maoni