test

Ijumaa, 20 Aprili 2018

Mwili wa marehemu Agness Masogange ulivyowasili Muhimbili


Mwili wa aliyekuwa Video Vixen Agnes Gerald (Masogange) ulishatolewa katika Hospitali ya Mama Ngoma na kupelekwa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili kwa ajili ya kuhifadhiwa kabla ya kutangazwa kwa ratiba za mazishi.

Install Application ya JUNGUKUULEO Uweze Pata Habari Kirahisi Zaidi

xxxxxxxxxxxxx

0 comments:

Chapisha Maoni