test

Jumanne, 6 Desemba 2016

WAFANYAKAZI WA VODACOM TANZANIA WAENDELEA KUCHANGIA DAMU SALAMA


Baadhi ya wafanyakazi wa Vodacom Tanzania wakitoa damu kuchangia  Mpango wa Taifa wa Damu Salama Kanda ya Mashariki, katika ofisi za makao makuu Mlimani City jijini Dar es Salaam leo, ikiwa ni shughuli iliyopangwa na kampuni hiyo kuadhimisha Siku ya Ukimwi Duniani inayoadhiimishwa Desemba Mosi kila mwaka. Wafanyakazi hao walitoa damu lita 50 kuchangia mpango wa damu salama nchini.
Mtaalamu wa Maabara wa mpango wa Damu Salama Taifa Kanda ya Mashariki, Grace Isidori  (aliyesimama) akisaidia wafanyakazi wa Vodacom Tanzania kutoa damu kuchangia  mpango wa damu salama katika ofisi za makao makuu Mlimani City jijini Dar es Salaam leo,  ikiwa ni shughuli iliyopangwa na kampuni hiyo kuadhimisha Siku ya Ukimwi Duniani inayoadhiimishwa Desemba Mosi kila mwaka. Wafanyakazi hao walitoa damu lita 50 kuchangia mpango wa damu salama nchini.

Install Application ya JUNGUKUULEO Uweze Pata Habari Kirahisi Zaidi

xxxxxxxxxxxxx