Diamond Platnumz apata mtoto wa kiume ambaye atakuwa ni kijana wake wa pili, ni kaka wa mtoto wake wa kwanza Tiffah.
pamoja na kwamba hakuna taarifa rasmi kutoka kwa familia hiyo lakini kuna dalili zote kuwa wawili hao wamepokea zawadi pekee kutoka kwa mungu.
Zari amejifungua leo saa 10:35 alfajiri katika hospitali ya Netcare Pretoria South Africalakini Diamond Platnumz amepost kutumia ukurasa wake wa instagram na kueleza furaha yake ila bado hawajampa jina mtoto wao huyo wa kiume.