test

Jumatatu, 12 Desemba 2016

CCM Yakanusha Uvumi Ulioenea Mitandaoni




Taarifa ilikuwa hivi:
Kutoka hapa Lumumba ni kwamba Steven Wassira anachukua nafasi ya Ole Sendeka.

Peter Maduki anakuwa mweka hazina kuchukua nafasi ya Zakhia Meghji, na Kinana kabaki katika nafasi yake.

Naibu katibu Mkuu Makongoro Nyerere. Naibu Zanzibar ni Zahoro Ally.

Install Application ya JUNGUKUULEO Uweze Pata Habari Kirahisi Zaidi

xxxxxxxxxxxxx