test

Alhamisi, 27 Oktoba 2016

Kingwendu: Nilikurupuka Kugombea Ubunge, Nilibakiwa na Madeni Makubwa



Msanii wa vichekesho, Kingwendu amesema alikurupuka kugombea ubunge na kubakiwa na madeni mengi hali iliyomsababishia kukaa kimya ili kushughulikia madeni hayo, alitakiwa awe na mdhamini
pia msanii huyo amesema alienda ujerumani sio kwa sababu ya hela alizohongwa ili auze ubunge bali ilikuwa mpango wa muda mrefu kabla ya kugombea ubunge

Install Application ya JUNGUKUULEO Uweze Pata Habari Kirahisi Zaidi

xxxxxxxxxxxxx