test

Jumamosi, 5 Septemba 2015

STARTV MAHOJIANO MAALUM NA DR. SLAA KWA MARA YA PILI 4/9/2015



Dr. Slaa 4/9/2015
STARTV MAHOJIANO MAALUM

1.Nikweli watanzania wanataka mabadiliko ila Lowassa hafai.
2. Msimamo wa kifalsafa unasema, katika viwili vibovu kibovu zaidi usikichague.
3.Wizara zote alizopita Lowassa kaacha madudu.
4 . watanzania acheni unafiki, Lowassa amesema uongo, mnawezaje kuwa na Rais mwongo?
5. Kati ya maaskofu 34, maaskofu 30 wamehongwa.
 

Install Application ya JUNGUKUULEO Uweze Pata Habari Kirahisi Zaidi

xxxxxxxxxxxxx

0 comments:

Chapisha Maoni