test

Jumamosi, 12 Septemba 2015

Lusinde Amshambulia Lowassa.....Asema Kichwani Hayuko Sawasawa Maana Kichwa Kimejaa UJI Badala ya Ubongo..




Mgombea Ubunge Jimbo la Mtera, kupitia Chama cha Mapinduzi,Livingstone Lusinde,amesema mawaziri wakuu wastaafu Fredrick Sumaye na Edward Lowassa hawapo sawa sawa  kichwani  kwa  kuwa  vichwa  vyao  vimejaa  UJI  Badala  ya  Ubongo.
Lusinde amesema anamshangaa Sumaye kwani amepata maisha mazuri akiwa CCM,amesomesha watoto wake akiwa CCM,na kwamba Sumaye hana sifa za kuitukana CCM.

Install Application ya JUNGUKUULEO Uweze Pata Habari Kirahisi Zaidi

xxxxxxxxxxxxx

0 comments:

Chapisha Maoni