test

Jumatatu, 20 Februari 2017

Bondi wa Wastara Mbaroni kwa Ujambazi... soma hapa


TETESI zilizotufikia sasa hivi zinasema Bondi Bin Salim, yule muigizaji wa filamu ambaye pia ni mpenzi wa Wastara Juma, amekamatwa na Polisi kwa tuhuma za kujihusisha na ujambazi. Tunaendelea kufuatilia na tutawajuza kinachoendelea

Install Application ya JUNGUKUULEO Uweze Pata Habari Kirahisi Zaidi

xxxxxxxxxxxxx