test

Jumamosi, 3 Desemba 2016

VIDEO: Magoli ya Samatta aliyoifungia KRC Genk vs Waasland-Beveren, Nov 30 na kuibuka na ushindi wa 3-1


Nahodha wa timu ya taifa ya Tanzania Taifa Stars anayeichezea klabu ya KRC Genk ya Ubelgiji Mbwana Samatta usiku wa November 30 2016 ameingia kwenye headlines baada ya kufanikiwa kuiongoza timu yake ya Genk kupata ushindi dhidi ya Waasland-Beveren.


Samatta aliifungia KRC Genk magoli mawili katika ushindi wa goli 3-1, Samatta akifunga magoli hayo dakika ya 15 na 42 na baadae mnigeria Wilfred Ndindi akapachika goli la tatu dakika ya 80. 

Install Application ya JUNGUKUULEO Uweze Pata Habari Kirahisi Zaidi

xxxxxxxxxxxxx