MKUU Mkoa kijana mbunifu kuliko wote nchi amepiga marufuku biashara kandokando ya barabaraa ya inayoelekea kivukoni na soko samaki la la feri baada ya wafanya bisahara wa feri kulalamika kwa mkuu wa mkoa huyo kuwa wafanyabiashara hao wamekuwa wakwepa kodi.
Awali RC Makond aliambiwa na wafanya biashara hao kuwa soko hilo linakosa wateja kutokana na kushindwa kufikiwa na wateja ambao hununua samaki au bidhaa nyengine kandokando ya barabaraa na kusababisha wateja kutofika sokoni humo.