test

Jumanne, 6 Septemba 2016

Wakati bongo tukizisubiri ndege 2 za mkoa hadi mkoa,Nairobi waanza kutumia taxi za helokopta


Wana bodi serikali ya Kenya inazidi kuwajengea wananchi wake uhakika wa safari za jijini Nairobi baada ya kuanzisha safari za ndege aina ya helkopta kama tax.

Haya ni maendeleo makubwa sana kwa jiji la Nairobi, sisi sijui ndege zetu zitaingia lini ili nasi tujidai kupata usafiri wa DSM-Kibondo!

Install Application ya JUNGUKUULEO Uweze Pata Habari Kirahisi Zaidi

xxxxxxxxxxxxx