test

Ijumaa, 12 Agosti 2016

VIDEO: Edward Lowassa ametoa kauli hii kuhusu CHADEMA kufanya maandamano


July 09 2016  Waziri mkuu wa zamani na aliyekuwa mgombea urais kupitia CHADEMA, Edward Lowassa amekutana na umoja wa mameya na wenyeviti wa halmashauri wa CHADEMA.

Wakati akizungumza nao Lowassa amesema chama hicho kinatakiwa kiachane na uanaharakati na maandamano ili kiweze kujipanga kuchukua nchi 2020, Lowassa amesema…….
>>>’Chama cha siasa kazi yake ni kukamata dola basi, hakuna kitu kingine duniani, vision ya chama cha siasa ni wanasiasa kukamata dola, mnapokaa hapa mjiandae kukamata dola na sio kitu kingine, acha habari ya maandamano, maandamano ni process’

Install Application ya JUNGUKUULEO Uweze Pata Habari Kirahisi Zaidi

xxxxxxxxxxxxx