test

Jumatano, 7 Septemba 2016

Baba mwenye umri mdogo duniani


Sean Stewart mwenye umri wa miaka 12 anayeishi Uingereza ndiye anayesemekana kuwa ndio baba mwenye umri mdogo zaidi duniani

Sean anasoma darasa la saba katika shule ya Margaret Beaufort ameruhusiwa kukaa nyumbani ili kuwa karibu na mpenzi wake aliyejifungua wiki hii aitwae Emma Webster

Sean alitimiza miaka 12 mwezi mmoja uliopita , na alimpa ujauzito Emma akiwa na miaka 11 huku Emma akiwa na miaka 15 

Sean anasema alishtuka kwa mara ya kwanza aliposkia Emma ana ujauzito wake ila kwa sasa ana jiona yupo sawa na ana furaha isiyo na kifani



1473194885606.png . Sean akiwa na mtoto wake




1473194929506.png . Sean akiwa na mtoto wake





1473194956616.png . Sean akiwa na mpenzi wake na mtoto wake

Install Application ya JUNGUKUULEO Uweze Pata Habari Kirahisi Zaidi

xxxxxxxxxxxxx